Tanzania Breweries Limited Arusha walitangaza post za Trainee for graduate positions ktk vitivo kadha ambavyo ni Engineering na Packaging,lkn mpaka sasa cjackia tetesi zozote za kuita watu coz deadline yao ilikuwa tar 31/10 mwenye taarifa zozote naomba anijuze.
hivi hii programme walotoa hawa SBL ya
GRADUATE PROGRAMME (PAN AFRICA EARLY CAREER PROGRAMME) una-apply vp? coz hawahitaji u2me CV na cover letter kwa email wala address msaada tafadhali.
omba st john university (dodoma) wametangaza kazi hizo -bla shaka zinakuhusu, jaribu kuchek
Financial System - Data Base Administrator St. Johns University of Tanzania
Deadline: 24/09/2011
Database Development Administrator St. Johns University of Tanzania
Deadline: 24/09/2011...
pa1 mkali, mwenyewe ni fresh graduate nina degree ya electrical engineering, but kinacho2kwamisha mtaa ni experience kila kaz wanayotangaza wanadai experience kuanzia miaka 5 nakuendelea,kiufup kwe2 inakuwa shuhur, coz mfuko m2pu nothing 2do! na kazi nyingi undugulaization kibao, kwakweli ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.