Search results

  1. F

    Mrejesho wa kupata Mwenza-Mume

    Nawasalimu wana JF wote, Rejea thread yangu ya kutafuta mume Ninapenda kumshukuru Mungu Baba, Muumba wa vyote kwa kuweza kunikutanisha na mwenza wa maisha yangu ya hapa duniani,kwa hatua tuliyofikia sina budi kusema kuwa nimempata wangu. Maana kule mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa,wote...
  2. F

    Ninatafuta mume

    Habari wana JF, Mimi ni mwanamke mwenye miaka 36. Ninatafuta mpenzi mwenye upendo wa dhati atakayekuwa mume wangu. Sifa zake Umri: 37-45 Dini: Mkristo Elimu: kidato cha sita na kuendelea Kipato: Kaajiriwa / kajiajiri. Ninawakaribisha PM kwa mawasiliano zaidi. Ninatanguliza shukrani zangu...
Back
Top Bottom