Nawasalimu wana JF wote,
Rejea thread yangu ya kutafuta mume
Ninapenda kumshukuru Mungu Baba, Muumba wa vyote kwa kuweza kunikutanisha na mwenza wa maisha yangu ya hapa duniani,kwa hatua tuliyofikia sina budi kusema kuwa nimempata wangu.
Maana kule mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa,wote...
Habari wana JF,
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 36.
Ninatafuta mpenzi mwenye upendo wa dhati atakayekuwa mume wangu.
Sifa zake
Umri: 37-45
Dini: Mkristo
Elimu: kidato cha sita na kuendelea
Kipato: Kaajiriwa / kajiajiri.
Ninawakaribisha PM kwa mawasiliano zaidi.
Ninatanguliza shukrani zangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.