Nakuunga mkono kwa chadema kupata kiti kimoja bungeni tena kwa kuhurumiwa na CCM,ila kwa mzee Edward umebugi kaka, kwani mpaka sasa lowasa kapatikana na tuhuma ipi ya ufisadi? Ujio wa lowassa chadema ni neema isipokuwa chadema walipoteza nafasi yao ya kuyadai mabadiliko kwa vuguvugu la uchaguzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.