Search results

  1. zireya ndimkanwa

    Ifahamu Manyovu mkoa wa Kigoma

    Kwanini unatumia neno Warundi katika kutaja makabila ya Burundi? Ni wazi Burundi kuna makabila ya Wahutu, Watwa na Watutsi. Majina kufanana siyo hoja kwani mbali na Burundi kuna majina ya Wasukuma, Wanyamwezi, Wahaya na Wahangaza yanafanana sana na ya Kabila la Waha hivyo kwanini tusiseme wote...
  2. zireya ndimkanwa

    Ifahamu Manyovu mkoa wa Kigoma

    no data no right to talk
  3. zireya ndimkanwa

    Ifahamu Manyovu mkoa wa Kigoma

    si kweli sehemu ya tawala iliyokuwa Rwanda -Urundi ilikuwa Bukoba siyo Buha
  4. zireya ndimkanwa

    Ifahamu Manyovu mkoa wa Kigoma

    Bwn.S.K.JAPHET (BHUZUZU) alizaliwa Tar.05 Julai, 1974 katika eneo la Manyovu kijiji cha Mwayaya, Wilaya Buhigwe, Mkoa Kigoma. Ni mtoto wa 7 kati ya watoto 9 wa familia ya Mzee ANGELO BUZUZU KAHOBOLA MPENDA. Elimu yake ni Diploma ya Kompyuta na Ufundi ” DIPLOMA IN COMPUTER STUDIES AND...
Back
Top Bottom