KUKU WA KIENYEJI PURE WAPO SOKONI
BEI YA MATETEA NI 15000, YA MAJOGOO NI 19000 . WAPO WA KUANZIA MIEZI 7
PIGA 0718175353 AU 0684452123
TUPO DSM CHANIKA NA TANGA KOROGWE.
WA MIKOANI NA VISIWANI TUNASAFIRISHA #UFUGAJI #KILIMO #TANZANIA
Karibuni wadau, Broilers wa wiki 4 wana uzito poa kabisa wanapatikana kwa Tsh 5500 kila mmoja. Tupo Dsm Temeke, tuwasiliane kupitia 0686312659 au 0777774020 (Whatsapp).
#Ufugaji #Kilimo
Nazi kutoka Tanga zinauzwa kwa jumla kuanzia 60. Tupo DSM na Tanga hata mikoani tunasafirisha, karibuni wote na tuwasiliane kupitia 0718175353.
#KILIMOBIASHARA #KILIMOKWANZA #TANZANIA
OFFER KABAMBE.
Karibuni tunauza vifaranga vya kuroiler kwa Tsh 1600, sasso kwa Tsh 1550. Tupo Dsm na Iringa na mikoani tunatuma, wote mnakaribisbwa kuweka order zenu. Kwa wafugaji wanaoanza watapewa mafunzo na maelezo stahili kuhusiana na ufugaji. Na pia watakaoweka order zaidi ya vifaranga 100...
Karibuni wote vifaranga vya sasso, kuroiler, malawi na broiler vinapatikana kwa wingi na kwa bei che. Wasiliana nasi kupitia 0714436335 au 0789823594,
Na mafunzo pia tunatoa kwa wafugaji wanaoanza. Mikoani tunatuma bila shida yoyote kabisa. #LiveLovePoultry
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.