KUKU WA KIENYEJI PURE WAPO SOKONI
BEI YA MATETEA NI 15000, YA MAJOGOO NI 19000 . WAPO WA KUANZIA MIEZI 7
PIGA 0718175353 AU 0684452123
TUPO DSM CHANIKA NA TANGA KOROGWE.
WA MIKOANI NA VISIWANI TUNASAFIRISHA #UFUGAJI #KILIMO #TANZANIA
Karibuni wadau, Broilers wa wiki 4 wana uzito poa kabisa wanapatikana kwa Tsh 5500 kila mmoja. Tupo Dsm Temeke, tuwasiliane kupitia 0686312659 au 0777774020 (Whatsapp).
#Ufugaji #Kilimo
Nazi kutoka Tanga zinauzwa kwa jumla kuanzia 60. Tupo DSM na Tanga hata mikoani tunasafirisha, karibuni wote na tuwasiliane kupitia 0718175353.
#KILIMOBIASHARA #KILIMOKWANZA #TANZANIA
OFFER KABAMBE.
Karibuni tunauza vifaranga vya kuroiler kwa Tsh 1600, sasso kwa Tsh 1550. Tupo Dsm na Iringa na mikoani tunatuma, wote mnakaribisbwa kuweka order zenu. Kwa wafugaji wanaoanza watapewa mafunzo na maelezo stahili kuhusiana na ufugaji. Na pia watakaoweka order zaidi ya vifaranga 100...
Bei nimewapa hapo. Ila kwa watakoweza kusubiria ndani ya wiki tatu tunauza vifaranga wa kuroiler kwa tsh 1600 na sasso tsh 1550. Ila kwa anaehitaji sasa hivi bei ya kuroiler kwa 1900 na sasso ni 1800
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.