Kinacho i cost Air Tanzania sio kwamba tunanunua ndege sana . Ni matatizo yafwatayo
1. A220s ziko 4 ila ndege hizi sio tu kwa Tanzania bali dunia nzima zimekuwa zikipata shida sana . Hivyo imekuwa shida kupata consitency .Na hii ni tatizo la engine za PW kama unajua A220s ni new planes with...
Arusha rarely inatoa timu kushiriki ligi kuu so i get the point why ni 30k , na pia ina running tracks. Ndo actually wakimbiaji wengi hutokea mikoa ya pande za huko. So multipurpose inaeleweka
Kwa bei ya sasa hizi ni sawa tu mzee , naona pia wanajenga na uwanja wa mazoezi naona kama na indoor stadium pembeni , unless wasifwate render , hyo ni kama 110mil usd , Uwanja wa Tottenham hotspurs unabeba 65k people na umecost 10x about 1bn usd
Might come back when we fully exploit our LNG , unlike Nairobi, ambayo ni commercial na Govt Hub , All Govt offices are in Dodoma now . So that made Dar fall back kwa muda,
Kama ni mimi ningekua nafanya maamuzi ningefanya yafwatayo
1. Redevelop Mkapa stadium to 75k seats by removing race tracks na kuongeza seats mbele kidogo
2, Kufanya Uhuru stadium kuwa 30k wenye seats na racing tracks
3. Dodoma stadium 40-45k seats(NEW
4. Arusha stadium 40-45k seats (NEW
5...
Issue kubwa sometimes huwa ni grid , ndo maana walisign project ya grid stabilization ya 1.9 trillion tsh sijui imefika wapi? kama JNHPP ikianza issue ya supply itakuwa solved
Good project ,if done well ita decongest Dar sana , plus itafanya eneo la kwala kukua kiuchumi kama a transport hub , watu watajenga Guest houses , kutakua na masoko etc
Yeah washugulikie kwanza kumaliza hotel yao ya mwanza , Mzizima tower na Kiwanda cha sukari , ili kama wakiingia hii nyingne angalu zile ziwe zina run .
Plus unaona Mwanza airport ikiwa kubwa na kuhitaji 4 star Hotel soon ?
https://trumpetnews.co.ug/2024/01/25/air-tanzania-revolutionizes-cargo-operations-in-uganda/
Waganda wanasema Air Tz Cargo , B767 300F ni modern na price ni nzuri so possibly itatumika sana , imetoka kushusha mzgo wa madawa na chanjo 49 tonnes na december ilishusha 40 tonnes,.. kwa mwenendo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.