:love:moyoni mwake ameshakuona kuwa unafaa kuwa mwenza wa maisha thats why anahitaji kufahamika na wanaokuhusu, wala si nia mbaya kama nawe una malengo mazuri bt kama hauna mpango nae inasababisha wewe kuona kama anakulazimisha!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.