Nina miezi kama 5 HV baada ya kurudisha kadi ya CHAPUTA baada ya kuitumikia kwa miaka 4 😂😂.
Nimeamua kutulia ili nisije kutia aibu baadae,so kwa wale wazoefu itachukua muda gani hali ya kiuanaume kupafom vizuri kitandani?Maana naogopa hata kumilki msichana kwa sasa!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.