Mie nafanya nao ciwawazi wala nini mwanzo nilikua nawaogopa ila sasa nimekua nunda hata angenitukana kibangla me poa et we pay u lots of money bt u doing nothing me nawatukana hata kwa kiluga. Na uliza ni bei gani wanalipa ni full kuibiana sena shida ya ajira ndo inatupeleka huko japo...
Ni kqweli kwamba kukata tamaa ni dhambi ila kwa akili yangu timamu jina limetoka kwenye watu 1077 kuna bahati kweli hapoooo! Najitoa bure bure bure kabisa.
Usishangae wala usichoke wala haupo peke yako kiongoz. Mimi nimefanya interview zao sasa ni saba na sijabahatika kuingia oral hata 1 cha kushangaza kuna moja juz kati nilifanya kwa mkuu wa mkoa wa klm nilijibu vzr had nikafurah matokeo 40 hahaha nilijidharau na ndipo niliposema sitafanya tena...
Yana kinabore kinakera kwanza unaitwa kwenye interv unaambiwa kuna timu ya simba na yanga tafsir yake ni nini? Kiyu kingine wafanye selection yao kwanza kabla ya kuwaita watu kibao tunateseka na ndo mana tunazid kuwa masikini mana hata kidogo ulichonacho ni nauli ya kufanya interv ambazo...
Hahahahah umefanya vizur mana na mimi niliomba wakanitumia email na document fulani hiv ila kilichonishangaza ile mesege imeandikwa kiingereza kigumu kiasi kwamba kuna baadhi ya maneno yaninishinda halafu haiendani na messege iliyoiko kwenye document. Kingine kama ni Research company mbona...
sina comment ila kilichotokea usaili wa weo kwa mikoani ni aibu tupu eti haiwezekani ma intellectual na akili zao watufanyishe interview watu zaid ya 70 wachaguliwe 5 kuingia oral na 7 watoke kwenye 98 huu ni ubabaishaji na usumbufu.wanaochaguliwa mtoto wa mkulima 1 rejesha hatufichani bana zali...
Hii story inavutia japo ipo kimbea ila inafundishajeeeeeee. Mi mi niliwahi kutuma application siku moja bila hata kuedit
title ya kazi mf Ref. ................................ bila kubadili nikatuma hivyo hivyo baadae nikawa naperuzz ile appl nikakuta ni commed japo nilichukua, niliona aibu na...
Kwa uzoefu wangu tu hawa watu wa utumishi wakitangaza usaili huwa hawawahusishi kabisa wahusika wa pale eneo la interv ila kwa hili tunaona itakuaje wapo wengi lamda watagawana majukumu
Jamani wadau mkoa wa kilimanjaro hawajaweka tarehe ya mchujo so naomba tupeane info kwa atakayewah kupata taarifa mana hizi tarehe zimegongana na zile za maafisa tarafa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.