Suala la mikataba hewa limeendelea kuchukua sura mpya bungeni baada ya mbunge wa Ubungo John Mnyika kuchafua hali ya hewa kwa kuitaka serikali iwasilishe bungeni mikataba ya uchimbaji wa gesi na mafuta.
Ninampongeza mh:Mnyika kwa ujasiri wa kuitaka serikali kuleta mikataba yote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.