WANAJF SAMAMU SANA!!
Nimekuwa msomaji mzuri wa threads Mbalimbali ambazo kwa kweli zimenipa hamasa sana kujiunga na Jamvini na kwa kweli nimejiunga ninachotegema zaidi ni ushirikiano ambao mmnekuwa mkionesha nyakati mbalimbali kwa kuchangia threads na zaidi kuwa familia moja.
Asante na Naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.