Mambo vp watu wangu wa nguvu...great thinkers ..i salute you guys.
Kuna jamaa yangu kaniomba ushauri ..lakin kwa ruhusa yake nikamuomba nilete huu uzî hapa ili tujifunze kîtu..tiririka
Niende moja kwa moja kwenye mada husika kama ifuatavyo
`Mimi ni kijana mwenzenu mpambanaji hapa mjini nina...
Mimi nimeoa na ninaishi na mke wangu lakini hatujabarikiwa kupata mtoto na wote tunafanya kazi mke wangu serikalin na mimi kwenye kampuni moja hapa mjini Dar kutokana na ubize wa kazi tuliamua kutafuta mfanyakazi na hivyo kuletewa huyu mdada wa kazi kutoka kijijini kwao na mke wangu, na mimi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.