Kwa heshima yako kama PM na kwa heshima ya LD aliyekubaliana nawe kwa Senks, ni wazi kwamba D5 ambaye kwangu ni mkubwa kicheo hapa jamvini yuko sahihi.....
Mimi hapa ni mdogo kwenu na kaka kanipiga kwenzi kwa kunionea.... nimemrushia mawe, wajomba mmekuja mnanichapa.
Poa nafuata ushauri wa...
hahahahaha...duh alichokiona anakijua mwenyewe....nchi ya majuju...na maendeleo wapi na wapi? ukinipa mtihani halafu na hilo likawa swali nitachana karatasi na mwalimu atanipa A.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.