Kwa nini hawa the so called "mafisadi" wanaogopwa? watanzania lazima tujifunze toka nchi nyingine ambako hata wakuu wa dola wamefikishwa mahakamani kujibu mashtaka kuhusiana na rushwa kwa mfano; huko zambia ambako mkuu kabisa wa dola na raisi mstaafu alifikishwa kizimbani kujibu mashtaka ya...
Tuwapuuze mzee upara na huyo Lyatonga; Natapata tabu sana kumuelewa mzee upara akiongea kwani anavunja maneno sanaaaaaaaaaaa!!!!! Huyo lyatonga nadhani diabates zinamsumbua na moja ya indicators za ugonjwa huu ni kuongea pumba!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.