Kuhusu sakata la chuo kikuu cha tiba na teknologia, IMTU tunaomba Rais uliingilie kati utoe tamko moja maana ukimya wa vyombo husika utaleta mtafaruku wa hali ya juu kuna ufisadi ndani yake.
Baba Kikwete tunategemea sasa ni wakati wako wakutoa tamko rasmi kuhusu imtu maana wizara ya elimu kwa...
chuo wanarudisha kwa makundi but hakuna kurudi hiyo tarehe maana hakuna dai letu lililojibiwa,wanaftufanya ni kichwa cha mwendawazimu chakujifunzia kunyoa,umoja wetu ndiyo silaha yetu wanatumia njia mbalimbali watumalizie ila kuna nguvu ya mungu, wanatafuta mrudi wametuma meseji kwa wazazi na...
Inasikitisha sana kuona madaktari wetu wajao wanavyoteseka na swala la ada.
Hivi kwa mtindo huu huduma zitakuwa ni nzuri maana elimu wanapata kwa mateso milioni saba na laki mbili si mchezo hapo hajkula hajui atalala wapi wala kitabu.
Hebu serikali ingila kati na pia kwa upande wangu naona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.