Ww ndiyo unaonekana mjinga, kwenye suala ya haki ktk nchi wote tunatakiwa kuwa kitu kimoja, bila haki au nchi kuwa na maamuzi ya mtu mmoja tutafika? Tuache ujinga katiba mpya ni lazima
Hata ww huoni kwamba mtu kateswa namna hiyo je angekuwa ndugu yako ungeona uamuzi wa mahakama uko swwa? Ww hata kama ni mnufaika wa mfumo uliopo lkn haki za watu ni jambo la msingi, huyo mtuhumiwa alivyoteswa namna hiyo je haki yake anapata wapi na je angeteswa ndugu yako ungesema nn juu ya...
Bado nchi hii tuna watu wajinga sana kama ww, hata baba wataifa mwalimu nyerere alikuwa na wakili beberu wa uingereza kwa ajili ya kumtetea dhidi ya kesi za wakoloni, huyo beberu alimsaidia ktk kesi zake alizokuwa anafunguliwa za uchochezi na mpaka tukapata uhuru Kupitia harakati za mwalimu...
Kama mngekuwa na wanachama wote hao kwann huwa mnasomba watu kwenda kwenye mikutano yenu, mfano mkutano kama unafanyika mwanza yani mnasomba watu kutoka Misungwi, magu, ngudu, shinyanga, sengerema ukerewe, geita lamadi hadi bunda ili mjaze watu
Je sheria inasema hivyo kuhusu kupandishwa mishahara ya watumishi wa umma, je pia Kuna exceptional yoyote katika sheria inayotaka mtumishi wa umma aongezewe mshahara kila mwaka? My friend kwa sasa watu elimu iko kwa kichwa sana
Umesema kweli kwanza akiwa anapita sehemu lazima njia isafishwe ndiyo hapo watu hutaka kuona anavyopita, hata mm nikisikia Rais anapita nasogea kuona ule msafara wa magari Yale ya thamani kubwa na ule ulinzi mkubwa
Ushahidi upo tuna jamaa zetu ambao ni wapangaji kwenye majengo ya ccm ili ukidhi vigezo vya kupewa nafasi ya kupanga lazima uwe mwanachama wa ccm, hata mfano ccm kirumba pale Kuna watu wamekodi stoo, wana kadi za ccm za kuvungia ili kukidhi vigezo, sisi tunajua Bana acheni mchezo
Lissu anafanya kampeni kwa akili sana na kila anakopita watu wanampokea vizuri, mm niko mwanza naona kabisa lissu atapata kura nyingi sana
Yani magufuli hadi kwao chato hali ni mbaya, kweli MUNGU ni mkuu na amepandikiza chuki ndani ya mioyo ya watu dhidi ya magufuli kila mtu anamsema vibaya
Endelea kuota ndoto za mchana na kama unataka kupata uteuzi basi ni bora ukae upande wa lissu ambae ni mshindi tayari
Kwa ufupi ccm haishindi mwaka huu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.