Nyinyi ni miongoni mwa wendewazimu hapa Tanzania/Tanganyika,mnaodhani na kuamini kwamba Kila raia ni Simba na Yanga.
Watu tupo na Eagle Fc/Kinyamkela FC/Chupukizi Fc,
Miaka ya 2020, nilikuwa nalipigia kelele away goal UEFA champions league,kwamba liondolewe,kanuni hiyo niliiona inamapungufu mengi sana kwa soka la kisasa.
Kuna wadau walikuwa wananipinga sana,,Ukisikiliza hoja zao ni za kusikitisha,Ati wawazidi wazungu wewe..?? & tulia wewe Mtu wa dunia ya...
Afcon Awards:2023!
Goalkeeper: South Africa -ronwen Williams
Goal scorer: Equatorial Guinea -Emilio nsue
Best player : Nigeria. -William Ekong!
Fair play: South Africa...
Nigeria Huwa wanafurahisha!!!
Ukikuta wanavyojisifia!!
Wanadai wao ndio fundi wa mahaba Africa nzima!!
Na dada zao ndio Bora Africa!!!
Mosi,uzungumzaji wao tu ,unawaondoa kwenye kinyang'anyiro Cha Love sector
Ya,
Kama umeifatilia Nigeria hata kabla ya Afcon, walikuwa wanacheza soka la kujilinda zaiidi/Defensive/Negative football,Japokuwa wachezaji wanao wazuri kulinganisha na mengi mataifa ya Africa.
Coach wa Nigeria anauwezo Mdogo/Average coach!
Japo Mimi si muumini Sana wa...
Hata bila ya kutazama takwimu, south Africa goalkeeper kafanya vzr Afcon!!
Hizi takwimu za soka Hasa la kileo,zinaacha matobomatobo mengi.
Takwimu katika soka la kileo Huwa nakubaliana na Jose Mourinho!!
Wakati mwingi takwimu ni kama kipande Cha nyama choma,inavutia kumbe ndani mbichi..!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.