Ahahahaha ok, nikukumbushe mifano michache kama akili yako ipo tayari? Unakumbuka Swala la fao la kujitoa? Ni Mbunge Mnyika na Jafo pekee waliolipagania sio sijui huyo Msigwa au Lissu, unakumbuka swala la kuondoa posho ya wabunge? Ngoja nihishie hapa
Wakabila wakubwa nyie MA-CDM na uraisi hamtapata labda asimame mtu toka kanda nyingine na sio huko kwenu na lazima tuwe na uhakika hakuna kanda hiyo nyuma kama remote control na hii inamaanisha CDM kutoa raisi ni miaka kama 20 ijayo baada ya kizazi cha kaskazini kupungua ndani ya chama au...
Sikubaliani nalo hata kidogo ila kwa sababu tumeamua kuwakabidhi akili zetu wanasiasa kulingana na vyama tunavyosapoti tumeshashindwa tumegota tayari hakuna kwenda mbele tumegota mazima, usiwaamini kabisa hao sijui ukawa sijui ccm wote majambazi katika makoti tofauti, nakuhakikishia tena kura...
Sasanyie mtakuwa mnazuia demokrasia isifanye kazi yake yaani nyie wachache mlazimishe wengi wakubali mnachotaka umewahi ona wapi hiyo....walio wengi ndo wana nguvu ya maamuzi, 2015 mlikosea sana nguvu nyingi mlielekeza kwenye uraisi ambao mlijua kabisa hamuwezi shinda
Wewe hesabu unajua kweli, November 2015-2016 1st Year, November 2016-October 2017 2nd year, wewe hiyo miaka mitatu unaitoa wapi, au unaongelea kitu gani, inawezekana nimejibu kitu usichomaanisha samahani lakini maana haya mambo ya hesabu ni janga hapa Tanzania.
Hesabu ni somo jepesi waweza...
Mimi na mtazamo tofauti kuhusiana na hili......Inawezekana kabisa CDM wamepanga hili tukio bila Lissu kujua na dereva akawa anatumika kila stage, na hata hiyo taarifa ya kufuatiliwa aliyoitoa Lissu ni dreva ndio aliyemwambia na wanamjua Lissu lazima angeongea kwenye vyombo vya habari, na baada...
Uchaguzi uliopita tuliwaambia wekeni focus kwenye wabunge mkajifanya wendawazimu mkatuletea lile zee Lowasa kwa kura za ndio na hapana pale mlimani city matokeo yake wabunge mnao wachache, na demokrasia inasema aliyepata kura nyingi ndo aliyeshinda, kwa hiyo Nkamia ana haki zote kupeleka huo...
Inawezekana mimi ndo sijaelewa, nimesoma hiyo tarifa hiyo milioni 900 ni principal plus interest ambayo naona si kitu cha ajabu, maana hapa NBC tu tunachukua vimikopo tu vya milioni 100 wanatukung'uta milioni 190 principal plus interest.
Mbona mnalilia mswada unapelekwa bungeni na bunge lina uhuru wa kuamua kukubali au kukataa wasiwasi wenu nini, hii ndo chungu na tamu ya demokrasia. Kila siku mnalalamika raisi anaingilia bunge mara sijui nini halafu sasa hivi mnataka ainglie kuzuia mawazo ya wabunge, mbona hamueleweki.
Hii nayo pointi nzuri sana yaani ZZK,Lema na Sugu wakatae kweli kujiongezea miaka 2 haiwezekani. Kama kuna swala litawaunganisha wabunge basi ni hili swala
Hivi Raisi ndo inatakiwa akubali ok nimekumbuka wabunge wanapitisha tu mswada kisha raisi inatakiwa asaini, lakini navyomjua Magufuli kama wabunge watapisha yeye huwa hana hiana atasaini tu tena haraka sana kama ule mswada wa vyombo vya habari
Nimefanya kazi GGM takribani miaka 12, ni wakati wa Musukuma akiwa Mwenyekiti wa halmashauri ndipo GGM walianza kutekeleza angalau ahadi zao kwa jamii, lakini ndani ya mda mfupi walimuundia zengwe wakishirikiana na Madiwani wa CCM enzi hizo wakamtoa kwenye umeya kwa kumpigia kura ya kutokuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.