Kwa kuwa Chama siku za nyuma kilishawahi kuiuzia Serikali baadhi ya mali zake (km za Chimwaga), sasa wangeuzia Serikali viwanja vya michezo (Tabora, Mwanza, Arusha, Singida etc) ili kuendeleza michezo na wachezaji!
Katika nchi nyingi zilizoendelea, LGAs ndiyo zina nguvu za kujisimamia na kufanya maendeleo (siyo vyombo vya kisiasa) kwa sababu zinakuwa na wataalamu wa kila nyanja / weledi na kwamba wanalipwa mishahara mikubwa kuliko wa serikali kuu ambao ni wachache!
Wanaosoma shule / vyuo binafsi wasikate tamaa. Wasome kwa juhudi ili wapate uwezo wa kuanzisha shughuli za kujiajiri na pia waweze kuajiri wenzao na wengineo!
Hoja ya maana ni jinsi gani ya kutumia kwa ufanisi Wachumi waliopo Tanzania haswa walio nje ya Bunge kwani hawabanwi na siasa za makundi zisizoleta shibe wala afya!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.