Nchi lazima ichechemke sio woote usingizi kazi kumwimbia mama-mama!!
Piga kazi makamanda tupo pamoja kunamambo mengi ya hovyo yanaendelea hii nchi.
Juzi kunamtumishi mwalimu Senior kabisa kakuta mshahara wake haufiki lakimbili kisa "bodi ya mikopo"!!
Kwanini bodi inakata mkopoa kibabe bila...
Makupa?? sisi wazee jina makupa linasiha mbaya sana!
Nchi huru kilamtu anaruhsa kushughulika na yake!!
Wanajeshi wakasaidie maafa ya mafuriko sio mambo ya gwaride!!
Nchi kibaaooo Afrika zimeendelea na hazina cha muungano wala Nini!! Tunataka maendeleo sio kung'ang'aniana....
Woga ulilazimisha muungano sasa tuache woga kilamtu ajenge nchi yake kiuchumi!
Kwanza muhindi anatutungiaje jina lanchi yaani TZ??
Tanganyika haipaswi kusahaulika na kupuuzwa uhuru na...
Miaka mitatu???
Miaka mitatu tumepata maridhiano,
Miaka mitatu hajatekwa mtu,
Miaka mitatu maslahi ya wafanyakazi yameboreshwa,
Miaka mitatu tumepata tume huru ya uchaguzi.
Miaka mitatu viongozi wababewajinga wamerekebishwa.
Miaka mitatu jeshi halishurutishwi kuingilia mambo hovyo,
Miaka mitatu...
Sijambo la kuhoji...WIZI ulikuwa mkubwa mmno,mawakala upinzani walifukuzwa chumba cha kupigia kura na maelekezo ikawa sio ashinde Bali ashinde Kwa kishindo!!!
Wanazidi kumpa umaarufu...inaonekana wanamuogopa ndomana wanampa cheo licha ya matendo meengi yasiyofaa!!
Alafu mtu ananiambia eti niwe mzalendo!! Mzalendo huku mtuhumiwa anapewa cheo na rais nasisi watiifu tunateswa Kwa mishahara midogooo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.