Wewe nae uko kundi la Wasomi? Hizi St na hivi vyuo vya kata vimezalisha vijana wa hovyo mno!! Likishaandika kiingereza linaona linajua!!Kihongwe mkubwa wewe. Wapi CAG kavuka mipaka, katiba iko wazi na inaeleza kazi za CAG ni wapi na ulete kifungu cha katiba kinachooonyesha CAG amevuka mipaka...
Ndugai ni mtu wa kujikomba sana, hii hataona ni shida kwake alimradi jamaa anamkubali bila kujua matizamio yake jamaa hana mpango wa kuyatekeleza mbeleni!! Hawa ni watu kutoka Dodoma ni aina ya kina Nkamia NA KINA KIBAJAJI wana tabia ya kujikomba sana so hata kama jamaa atamgeuka hataona aibu na...
Pumbavu wewe!!Mipaka ya CAG unaijua na kama unaijua ni ipi? Kaendeshe boda boda na kukimbiza kama ambulance na kunywa viroba huko!! Hizi akili za kiduku huku JF ni shida! Ni wapi CAG amevuka mipaka yake? Ujinga ni kunywa konyagi ya kupima na kuingia JF
Tumia akili walao kidogo!! Kujiuzulu kutawapa watesi wake haki na kutaiumiza nchi!Tunahitaji watu wa aina hii ili kudhibiti matumizi ya hovyo na rushwa ndani ya mfumo!!
Ni bora mngenyamaza Mange akiamka huko analeta vielelezo! Le Mutuz hajawahi kuwa na kichwa cha kuweza kutete suala nyeti hata kidogo! Labda umbea wa kwenye vigodoro!!
Elimu ni muhimu sana kwenye mambo kama haya! Hili ni suala LA Kidiplomasia ndio maana hata magwiji was diplomasia wamekaa kimya sasa sijui huyu anadhani ni mambo ya Kiu,Ijumaa weekend, au Risasi!! Kukosa Elimu ni Kitu kibaya MNO
M
Mkuu unadhani Kwa hadhi na cheo cha Mbowe hakuwa anajua hili? Kuna jinsi mkuu!!!!Huwezi kwenda ubelgiji Mara ukutane na balozi was marekani nchini muwe na info za vikao vya mwanza kabla hats havijamalizika then ushindwe kujua hili!!
Wenye akili kubwa ndio wataelewa mbowe alitaka kufanya mini na wajinga wameingia mkenge ngoja tuanze kusikia wiki ijayo! Hawa hawa wanabinua midomo huku kama wamekula ugoro ndio hawa hawa watakaonza kusema wapinzani wanatuusababishia kukosa misaada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.