Kama n kweli hilo
Basi bankmoon hatasahau kitakachomtokea
Maana atapigwa pesa yule na mmasai yule
hata mirad yote ya UN itakwama
na hapo ndipo itakuwa mwsho wawatanzania kufanya kaz UN
Mzee hana jipya saiv
Amebaki kuwa mtu wa kusubiri misiba,
Vituzo ambavyo vilitakiwa kugombewa na wakina rais wa wasafi
Utashangaa amepewa hadi tuzo ya kilimanjaro music award maana n msanii mzuri tu
poor kibaraka lowasa
Endelea kupewa vtuzo na mabwana wa magharibi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.