Jamani wana jamii,habari zenu.
Nimekuwa nikifatilia namna ya kuhost website na blogs.
Naomba msaada wenu,mnifahamishe hapa kidogo.
Hivi mtandao kama kupatana ,jamii forum wanafanya dedicated hosting au cloud hosting.
Na ina garim shilingi ngapi ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wanajaamii.
Kwa wale wenzangu mlio vizur katika android development.
Naomba msaada kwa mwenye ujuz wa namna ya kuwasiliana kati ya fragment mbili au zaidi (fragment communication) kwa kutumia interface.
Shukran
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.