Wazir aache mazingaombwe,wenye dhamira za dhat z kuongoz hawaend ivo,watendaj aina yake n wa viini macho,swali je? Atafanya hivo kwa siku 365 afu akumbuke iyo sio shule ya msingi taratibu zip.naomba wapewe semina z jins y kuongoz mana naona hawajui kitu hawa jamaa
Kwa mi binafs zitto nilikuwa n mkubal xn,ila nilisha shuka kwenye daladala yake kwa ghadabu toka 2010 alipo onyesha kupinga wenzake kuto utambua ushind wa kikwete,IN Politics mwanachama mwenye mawazo na msimamo tofaut n wenzake kila wakat n hatar kuliko chama kinacho wapinga.n her yupo zito...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.