Habari wanajamvi, natumai mu wazma kbsa.
Leo tarehe 2/2/2019. Kuna michezo sita kutoka ktk makundi yote manne yaani A, B, C na D.
Katika Group A. Timu ya Lobi Star ya Nigeria ikiwa nyumbani imekubali kichapo cha bao moja kwa sifuri (0 - 1) kutoka kwa timu ya Waydad Athletic Club kutoka nchini...
Mechi ya klabu bingwa Afrika hatua ya makundi GROUP D imemalizika kwa timu hizo kugawana pointi moja moja baada ya kufungana 1 - 1
Refa amelikataa goli safi la JS SAOURA lililofungwa ktk muda wa nyongeza. Ama Kweli ukiwa timu kubwa raha.
Al Ahly ilikuwa wafe hii game. Sio mbaya. BADO TUNA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.