Haja kimbia kosa angekua amekimbia kosa basi angemuacha tangia alivyokuwa mgonjwa hajiwezi,but huyo baba alitakiwa kuchunguza kwann mkewe alibadilika ghafla, naamini mkewe alibadilika kutokana na ushauri aliokuwa anaupata kutoka kwa watu tofauti, laiti huyo baba angegundua chanzo cha mkewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.