Hivi ulifanya jitihada gani kuwajulisha wahusika ili waweze kushughulikia hilo tatizo?. Na kama ulifanya hivyo, ulihakikisha ni masaa sita yamepita toka ulitoa taarifa hizo?.Acha kukurupuka na kutumia akili yako yote kuandika kitu usichokua na uhakika nacho, Magufuri anapiga kazi mwache aendelee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.