Nafasi za professionals zipo but mtatangaziwa too late coz wakubwa wana watu wao wengi mno, so utaweza ukaisikia leo then baada ya siku 2 au moja ndo mwisho, kwenye pitapita zangu nilisikia mwezi wa 7 wanaweza wakahitaji vijana professionals
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.