Hawa ukiangalia utajiri wa huko kwao, yaani Canada na Ulaya hata A. Kusini woote hao wanategemea Nchi zilizolala kama Tz. Alafu sisi maviongozi yana.. aiseeee inaudhi sana. Mh. MAGUFULI TUNAKUPENDA SANA. MUNGU AKULINDE MKUU.
Ndio tunatishiwa nyau? Kwanza wanatakiwa wafukuzwe hapa sio kwao. Wametuibia sana tu. Hadi sasa sisi ni masikini na wao matumbo yamefura. Hivi ukweli tunafaidika nini toka kwao?. Hapa tulipo hatuna kitu cha kupoteza. Tunapigika kishenzi. Hawana huruma kabisa. Au ulishapewa chako?.
Ni kweli, tusiangalie ki chama, kidini au kichuki. Tujiangalie kama wazalendo. Vyama vina matatizo na vinajenga chuki, hasa CCM na Wapinzani ( hawapendani). Hata wana CCM wenyewe au Wapinzani wenyewe kwa wenyewe hawapendani na wanakomoana. Tuangalie hatma ya wananchi wengi tunaoumia. Maisha ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.