Mm nilikuwa mmoja katika mawakala wao jumbo la tanga mjini kata ya central mpaka leo hii hatujalipwa na ukiwapigia cmu hawaeleweki hadi leo bado hawasem chochote kwa kweli kwa hali hii kwa nn mawakala wasiuze kura afu bora wangetuambia ni kazi ya kujitolea mtu aelewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.