Search results

  1. M

    Msaada tafadhali!

    Kwa wakazi wa Mwanza,Mimi ni binti wa miaka 24.....Naomba kwa yeyote anaejua wapi naweza pata kibarua japo kwa siku iwe kiwandani au sehemu yoyote ile anijulishe,sibagui Kazi!Natanguliza shukrani
  2. M

    Nafasi ya kazi

    Natafuta kazi kwenye shirika,taasisi au hata kwa mtu binafsi nina diploma ya uhasibu.Ila sibagui kazi hata ambayo haipo kwenye taaluma yangu nafanya!Nipo mwanza
Back
Top Bottom