Nimekua mpenzi wa muziki wa kibongo kitambo sana na kwa sasa naona angalau teknolojia yaanza kutusaidia.
Simu za mikononi sasa zatusaidia pata access ya nyimbo mbalimbali, mfano mzuri ni application mbili moja inaitwa MZIIKI na ya pili yaitwa MUZIKINET , nimejaribu zitumia na ninaona zitasaidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.