Nimefanikiwa kupata wawili leo,Rais Mtarajiwa alikuwa sanya,Ni rahisi sana tafakari hotuba ya MH Lowasa,hawajawhi kubadili maneneo hayo ameongea kutoka rohoni,ni kweli imani huzaa imani,na sisi tumemwamini kwamba elimu,Elimu,Elimu ni mkombozi kwa maskini,Hii nimeipenda sana maana elimu ndio...
Pia Kuna usanii Sana. Shuleni anapofundisha wife waalimu walipewa t-shirt na kofia. Wakiahidiwa sh 40,000 Sasa CCM timizen ahadi zenu angalau hii ya kuhudhuria mikutano isije ikagharimu Chama
Ki Mun
Sisi Walutheri hatupendi vitendo hivyo kwanini lakini. Hivi ni vita silaha yetu ni maombi Kuna ule wimbo unasema, a might fortress is our God tusimame pamoja kukataa ubaguzi wa namna hii
Wewe ni mpumbavu,unatumia muda mwingi kujadili afya ya mtu,laiti ungejua kuwa wewe ni marehemu mtarajiwa.Mshukuru Mungu kama unaona uko na afya mana kesho yake siajabu ni mbaya kuliko ya huyu unayemsema sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.