Habari wanajamvi,
Nina degree ya public relations and marketing nilihitimu mwaka jana, nimeomba kazi sehemu tofauti bila mafanikio. Mwenye mtonyo wa ajira anijulishe lakini nakata tamaa ya kutafuta kazi maana nimechoka.
Nina business plan yangu lakini sina mtaji dooh masikin mie! Tusaidiane...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.