hahahahahahaha wabongo kweli noma, kila jambo tunalivalia njuga kuliongelea hadi basi wakati halina ukweli wowote.Kweli wabongo kwa Uzushi tumepitiliza.Ifike pahala tuache uzushi lol.
migogoro yenu ya kimaslahi isiwafanye kumdhalilisha mama wa watu, nani anaweza kuwa na uwezo wakuipata hiyo video kama si watu ambao wako karibu na mama wa watu, hili si la kufumbiwa macho, tunaomba hatua za kisheria zilchukuliwe Tafadhali. kama kipaumbele wamepewa wengine fahamu wanauwezo...
Wakati wewe unaambiwa ukapambane ulinde kura,uhatarishe amani ya nchi yetu, mwenzio anaekwambia hivyo anapiga hela bila wasi wasi wowote, ananufaisha familia yake na tumbo lake bila kuwajali watanzania.
pongezi nyingi kwako kwa maneno yenye ukweli usipiongika, kutokujifanya huelewi nini kinamaanishwa hapa wewe utakuwa mshabiki tena shabiki nazi, kwa sababu ni kweli falsafa ilitufanya tuamini chadem ni chama cha ukombozi sasa hakuna tena, tunapaswa kutafakari na kujenga chama upya sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.