......Ndugu yangu wacha uchochezi,si Hekma kutaka kutugawa wana CUF baina ya Tanzania bara na Zanzibar,CUF ni moja na ni chama cha kitaifa,nakushangaa ndugu yangu sana ndugu yangu,au wewe si M-Tanzania?yaelekea umetumwa tu na wala si mawazo yako.Tuachie CUF yetu na viongozi wetu.hatutaki choko...
....Ndugu zanguni naomba 2we waelewa,naona fikra zetu,akili zetu zimetawaliwa na ushabiki tuu,inaelekea nyinyi ndugu zetu si wa-Tanzania wenye kupenda amani na utulivu.Maalim Seif Anaaminika tena sana,hakuna mwana siasa yoyote wa kipindi hichi anaoweza kumfikia Maalim Seif ktk harakati za siasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.