Hiyo pia mm inanigusa maana wakianza tu na habar za lowasa wamekwisha maaana nikiangalia tu mm huyooo nasepa sina muda wa kuchek za ccm..... Labda waanze na za ccm lkn vinginevyo sitaki kuona sumu ya kijani
Mnafanya kampen zenu na Chanel yenu ya mamluki mlizo rekodi nakupanga hoja zenu na namna ya kuongea hatukubaliani na mambo yenu ya kijinga tu nyie niwa kukaaa pembeni tuu ccm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.