Hapa kazi tu mnataka kazi ya kuliwa mzigo haya kaeni mkao wa kura maana nyie wote mbaokufa na ccm yenu ni wale mnaogeuza ccm Kuwa ndio biashara yenu Bila ccm mtaolewa hapa mjini
Namimi nasema HAPA RUNGU TU TUTAWASUUZA MZIGO MPAKA MPATE mimba
Eti watu wanaongelea sijui lisu yupo wapi sijui nani kwanini mnajiuliza mtu mmoja kwani mtu mmoja anapiga kura ngapi ??? Kura moja tu sasa mbona hamulizi mafuriko ndio wapiga kura wengi na muhimu
Magari yenyewe wanajulia uzeeni kwajili ya hela haramu za wananchi wenye maisha magumu
Huyo jamaa anajiamini sana utasema yeye ndio mrithi wa hayati nyerere maana anapenda kuongea kiukali Bila kujali anaowatusi ni wakubwa zake na wapo kwenye game miaka mingi tokea yeye anaoshwa nnya
Haya sasa...
Wana ukawa nawaomba tuache maneno mengi ya malumbano na hawa chama mzee cha ccm kwani kulumbananao ni sawa na kupoteza muda kwenye mchezo wa bao hali ya Kuwa watu wapo makazini wanapiga hela
Ushauri wangu kwa wanachama na wapiga kura wote wa ukawa ni huu
Wakati ndio huu zimebaki siku chache...
Mimi napiga kuanzia huyo diwani mpaka raisi tena ingekuwa kupiga kura hakuna siri yani tunawekewa masanduku mbele ya wagombea kila mmoja na lake basi ningewachinja huku nawaangalia usoni nyamafu hawa ndorobo yani nina hasira hapa sipati picha sherehe la kuapishwa lowasa huo mkesha wake mziki...
Hii taarifa imekaa ki ccm ccm yani ni taarifa ya kampeni
Kwa taarifa yako mimi pia ni muislam na siungi mkono hoja yako na naamini wewe ni kibaraka wa ccm na huu uzi umeweka kwa malengo ya kumchafua raisi wetu lowasa
Lowasa oya eee baba lowasa waIslam wengi tupo pamoja nawe na kwakweli...
Ni nani anaengalia hizo chanel kipindi hichi???
Mimi kwa upande wangu nilishazifuta kwenye kigamuzi changu maana sijapendezewa na kujipa imani eti naangalia habari na kumbe naangalia kampeni za ccm kupitia hizo tv
Najuwa hawajali kabisa kupoteza waangaliaji wa tv zao ila nawasikitikia kwa...
Tutaendelea kutawaliwa na huu utawala wa ccm ikiwa Kuna watu kama hawa ndio wanao iunga ccm hali ya Kuwa majina yao tu ni JINGALAO???
KWELI KUITOA CCM MADARAKANI NI MPAKA HAWA MAJINGA WAMALIZIKE WABAKI WAJANJA TUPO KAMA UKAWA
Watanzania wenzangu nawaomba tuache malumbano na badala yake tujitokeze mwa wingi kupiga kura na kuchagua uongozi mpya wa chama kipya yani ukawa
Tusisahau hakuna lenye mwanzo likakosa Kuwa na mwisho
Au hakuna mwizi asiekuwa na arobaini yake
Tukumbuke hata mke huachwa na kusahauliwa kama...
Alihaha huku na kule kutafuta wawekezaji au washirika wa biashara zake na kuhakikisha anauza maeneo mengi ya nchi na Kuwa na maeneo makubwa ya mashamba yake na riz 2
Hapo tutamkumbuka sana au hutaki???
Hebu tuulizeni sisi wazee wa kuzama kwenye habari za ndani zaidi
Mkapa na kiwanda cha sukari mtibwa
Vp kuhusu mzee wa kaya na vituo vya mafuta vya duma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.