Habari Wakuu! Natafuta kazi ili niweze kujikwamua Kimaisha, Mimi ni Dereva mzuri mwenye Uzoefu wa Kuendesha vyombo vya moto leseni yangu ina madaraja yafuatayo A, A2,B,D,C1,C2,C3 na E hivyo nahitaji Bajaji au Gari kwa ajiri ya Hesabu au Mkataba,Vilevile Naweza Kumuendesha Boss(Kwa wale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.