Ni sahihi Tume kukataa dai la upinzani kuwa kura zihesabiwe tena. Ni kweli pia hata kama zitakuwepo kura za zitakazoongezeka kwa Slaa, bado hazitamuwezesha kuwa rais. Hayo si matokeo ya mtihani ambayo wanafunzi waliofaulu wote kwa ujumla wao wanasonga mbele, bali matokeo ya kura ni kumtafuta...
Matokeo ya uchaguzi yamedhihirisha udini na ukabila unavyoota mizizi katika siasa za Tanzania. CHADEMA wamepata ushindi katika maeneo ya wakristo wengi na makabila fulani fulani tu. Maeneo hayo ni Kilimanjaro, Kanda ya Ziwa, Iringa na Rukwa. Hii inatokana na safu za uongozi wa juu kutokana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.