Habari nilizozipata sasa hivi ITV (habari za saa), ni kwamba eti mgombea wa Chadema jimbo la peramiho amekosea tena form yake kuijaza na kwamba eti haikuwa na muhuri na signature ya hakimu!! Na kwahiyo according to Tume, Jenister Muhagama amepita bila kupingwa.
Khaa!!! Hii issue ya mihuri na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.