Jamani hivi Chadema + ukawa humu walishajiondoa?,mbona maswali yanaletwa watu hawajibu wako kimya tofauti na kipindi cha kuhamia lowasa chadema,kipindi cha kampeni,kuhesabu kura,nikaona joto linapungua taratibu baada ya magufuli kuapishwa raisi na sasa ndiyo kimya kabisa
Kanda ya ziwa wameshtuka nao wameona watu wa kanda ya kaskazini wanampa taf lowassa,lakini magufuli hana nafasi hivyo wakajiongeza kwamba kila watu wamuunge mtu anayewahusu ndiyo maana mamvi kaishiwa nguvu sana,alitegemea kanda ya kaskazino walishamsupport,waluteri,akajua kanda ya kati na kanda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.