Wamekosa la kufanya,Tanzania na hasa sisiem hakuna mwanamke anayeweza kuiongoza nchi labda kidogo Bi Rose Migiro,Mimi naona huyu rais wa NEC na CCM amekosa la kufanya anaanza kumdanganya huyu mama kuwa atamwachia urais,lakini kama urais wa NEC inawezekana.
Hawataki kuongeza majimbo mengi ya upinzani bungeni,na hili ni somo kwa hawa mafisadi (thithiemu) kwamba wananchi tumechoka na vitendo vyao vya kipumbavu na kutufanya sisi wajinga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.