Sio ya kichochezi ndugu yangu kama unavyodhani japo sijaipata.
Miaka mitano mikononi mwa ukoloni wa dhalimu kikwete na jamaa zake ni mingi zaidi ya unavyofikiri hasa watoto wa miaka wa form four na kushuka chini.Tutawasomesha kwa kutumia nini kama tutaiuza nchi kwa hiyo miaka mitano.
Death...
Kuna kichwa toka Musoma kinaitwa Vicent Nyerere yaani hakurupuki kuongea ana data za kila anachoongea.Sijui huko bungeni itakuaje,nataka wakose 2/3 ya wabunge ili kuwe na mabadiliko ya katiba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.