Ni kweli unayosema kwa sababu Kikwete anaendelea kuwanonesha wafisadi wenzie badala ya kuendelesha nchi. Mtu wa kawaida leo Tanzania hana uwezekano wa kuendelea kutokana na uwezo wake wa kiakili na juhudi. Hata jeje ni mfisadi pia kwania anafumbia macho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.