Search results

  1. Y

    Ahadi za Kikwete zafikia Trillion tisini (90 trillion tsh)

    Ndugu zangu,huu ni wakati wa kutokubali kuendelea kudanganywa kwa kiwango hicho na Mr kikwete,tuamke na tuwasaidie na wengine kuamka na kuzikataa hizi siasa za maji taka,kwa njia kura kwa mtu sahihi hapo tarehe 31/10/2010,kwa ngazi zote za wagombea,watanzania tusifanywe wajinga kiasi hicho!
Back
Top Bottom