Ndugu zangu,huu ni wakati wa kutokubali kuendelea kudanganywa kwa kiwango hicho na Mr kikwete,tuamke na tuwasaidie na wengine kuamka na kuzikataa hizi siasa za maji taka,kwa njia kura kwa mtu sahihi hapo tarehe 31/10/2010,kwa ngazi zote za wagombea,watanzania tusifanywe wajinga kiasi hicho!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.