Ccm acheni oh chafua nchi yetu mbele ya jamii za kimataifa, yaani hata kipofu anajua. Kwanini msifanye siasa za kistaarbu kuliko kuumiza wengine. Assume kama ingekuwa kwenu mngejisikiaje? Hata baba wa taifa angekuwepo asingekubali hili
Dahh mmefeli sana jamani, hadi wananchi wa kawaida vijijini tunawashangaa. Tunalidhalilisha bure jeshi letu la polisi na nchi yetu kwenye jumuia ya kimataifa. After all kama wangefanya kongamano lao Wala kusingetokea lolote. Tunadhalilisha pia chama chetu Cha mapinduzi. Shame on us[emoji24]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.