Tume ya uchaguzi imetangaza na kuweka wazi kuwa kura zitabandikwa vituoni.
Tume ya uchaguzi imetangaza na kuweka wazi kuwa ni lazima kila mpiga kura arudi nyumbani.
Maswali kwa Tume ambayo ni huru:-
1. Matokeo ya kura yatatoka saa ngapi kwenye vituo?
2. Matokeo kwenye vituo yatabandikwa saa...
Kuna mambo yameongelewa hapa lakini hakuna hata moja linalosema kuwa Ikulu imekanusha yaliyoandikwa kwenye hilo gazeti. Sana ikulu ilisema aende polisi, swali la kujiulizawa watendaji wetu na wasaidizi wa Mkuu wa Nchi wako jeuri kiasi hicho na hawachukuliwi hatua. Kila mwananchi ana haki ya...
Tata Madiba, ni jina zuri lakini lenye utata wa aina tatu, moja unacopy an kupaste mambo yaliyowahi andikwa hapa zamani na majibu yaliyotolewa yakaridhisha umma hivyo jina lako haliendani na matendo yako. pili picha uliyoweka na mambo unayoyazungumza yanakinzana, wewe unaonekana nyoka halafu una...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.