Search results

  1. N

    Nifanyaje ili niweze kuwa na sauti nyepesi?

    Jamani mi ni msichana lakini sauti yangu ni nzito saana kiasa kwamba hata nikiongea na simu mtu anaweza akafikiri kapokea mkaka naombeni mnisaidie nifanyaje niweze kulainisha sauti yangu.
Back
Top Bottom